Advertisements

Thursday, March 31, 2011

KAROTI; KINGA DHIDI YA SARATANI UGONJWA WA MOYO-2 GPL

WIKI iliyopita tulianza kuangalia umuhimu wa karoti kwa afya ya binadamu. Leo tunendelea na sehemu ya pili na ya mwisho juu ya mada hii. Endelea...

Kama karoti imestawishwa kwa kutumia madawa ya mimea na mbolea au kama huna uhakika na usafi wake, ni vizuri ukwangue maganda yake ya juu na kuyaondoa. Unaweza kuamua kukata vipande virefu au vya mviringo, kukata na mashine maalum vipande vidogo vidogo au kula nzima nzima.
Image
Rais Jakaya Kikwete akiwa katika mazungumzo na Waziri Mkuu wa Zimbabwe, Morgan Tsvangirai Ikulu mjini Dar es Salaam. (Picha na Freddy Maro).
International Friday
Fri April 1,2011
Also it's Zimbambwean Night 
you gonna love it
Karibu

Magufuli apeleka Sh1bn Loliondo

Neville Meena na Mussa Juma, Samunge
WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli, jana aliingia katika Kijijini Samunge kwa mchungaji Ambilikile Masapila na kupata kikombe cha dawa, kisha kutangaza neema ya kujengwa kwa barabara kuu inayoingia kijijini hapo.
 
Magufuli aliuambia umati wa watu uliokuwa ukisubiri zamu yao kunywa dawa kuwa, Serikali itatumia Sh1.05 bilioni kwa ajili kutengenenza barabara hiyo ili iweze kupitika wakati wote kwa lengo la kuwarahisishia usafiri wanaokwenda kunywa dawa kwa Babu Masapila.

NBA INVESTIGATES JAY-Z FOR UNIVERSITY OF KENTUCKY VISIT-The Boombox

Bill Kostroun, AP
Jay-Z's visit with the Kentucky Wildcatsmay land him in hot water with the NBA.

According to reports, the locker room visit made by the rapper, who sat courtside at the game held in Newark, N.J., and spoke with the players following their victory over the North Carolina Tar Heels Sunday (March 27), was a violation of the rules. Because Jay is a minority owner of the New Jersey Nets, he is therefore barred from having contact with amateur players who have not yet been chosen for the draft pool.

Since two Wildcats members -- Brandon Knight and Terrence Jones -- are potential lottery picks, the NBA has launched an investigation into the nature of Jay's invitation to the game, and his visit to the locker room.

The hip-hop mogul is friends with William Wesley, a noted basketball agent, which is likely the reason why he was behind the scenes. Hoopla aside, the players certainly had no problem meeting Hov. "It was crazy. I kind of had to do a double-take. I didn't expect that at all. I just had to get a picture with him," said Kentucky guard Darius Miller.

Jay is a big time sports fan and is often spotted at NBA and MLB games, usually with wife Beyonce by his side. If found to be in violation, 'The Blueprint 3' creator will likely have to pay a small fine.

Mtoto wa Lowassa mbaroni kwa kumgonga trafiki

Na Masau Bwire

MTOTO wa aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, Bw. Bernard Lowassa (30), anashikiliwa na Jeshi la Polisi Kituo cha Oysterbay, Kinondoni, Dar es Salaam kwa tuhuma za
kumgonga kwa makusudi askari wa Kikosi cha Usalama barabarani E 9320 Koplo Cyprian akiwa katika kutekeleza majukumu ya kazi.

Watu walioshuhudua tukio hilo waliaalaani na kuhoji sababu za mtoto huyo kufanya hivyo, wengine wakienda mbali zaidi wakidai pengine alifanya hivyo kwa kujiona hawezi kubanwa na sheria kwa kuwa ni mtoto
wa kigogo.

Kamati ya Bunge yaitwisha Serikali mzigo wa Dowans

Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya mahesabu ya Mashirika ya Umma Zitto Kabwe
Patricia Kimelemeta
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC), imeibebesha Serikali mzigo wa deni la kampuni ya kufua umeme ya Dowans ikisema ndiyo iliyohusika na mkataba wake. Serikali imekuwa ikidai kwamba Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (Tanesco), ndilo linalopaswa kulipa deni hilo.
Agizo hilo la POAC lilitolewa jana katika kikao cha pamoja baina ya Kamati hiyo na makatibu wakuu wa Wizara za Fedha na Uchumi na Nishati na Madini na watendaji wa Tanesco.

Hata kama yuko mbali, muamini, usimsaliti mtadumu!-GPL

Nina uhakika baadhi yetu tuna wapenzi ambao wako mbali, hilo lisikupe shaka. Bado unaweza kuendelea kuliboresha penzi lako na mwisho kutimiza ndoto zenu mlizojiwekea za aidha kuoana kwa wale ambao bado wapo wapo au kudumisha ndoa yenu kwa ninyi mliooana.

Tegete aivuta mkia Simba kileleni



Jerry Tegete alifunga mara mbili na kufikisha jumla ya mabao yake msimu huu kuwa tisa wakati alipoisaidia timu yake ya Yanga kushinda mtihani mgumu dhidi ya Azam FC kwa kuichapa mabao 2-1 na kupunguza pengo la pointi kutoka kwa vinara wa Ligi Kuu ya Bara Simba kuwa pointi 2.
Kwa ushindi huo Yanga imefikisha pointi 43, mbili nyuma ya watetezi Simba wenye 45, huku mechi mbili zikiwa zimebaki msimu kumalizika.

Mamilioni aliyokusanya Babu Loliondo yatajwa



Wakati Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Kati, likitangaza kujenga ukumbi wa kupokea wagonjwa kijijini Samunge, Loliondo kwa Mchungaji mstaafu Ambilikile Masapile, fedha kamili ambayo imekusanywa katika utoaji huduma hiyo imetangazwa.
Kwa mujibu wa Askofu wa KKKT Dayosisi Kaskazini Kati, Thomas Laizer, kiasi kilichokusanywa hadi jana kutokana na malipo ya Sh. 500 kwa kila kikombe anachopewa mgonjwa, ni Sh. milioni 50.

Wabakaji Zanzibar kuhasiwa

WATU watakaothibitika kubaka visiwani Zanzibar huenda wakahasiwa, kama sheria iliyotungwa itaidhinishwa na Rais. 

Hiyo ni katika juhudi ya Serikali kukabiliana na vitendo vya unyanyasaji dhidi ya haki za watoto, hivyo kuamua kupitisha sheria inayotoa adhabu hiyo.
Image
Dada Magreth Mutalemwa mkazi wa Urban Quarter Uzunguni, Tabora Mjini, ambaye naye amejitokeza na kudai kuoteshwa kutibu watu na Bikira Maria, akiwa na kikombe chake cha dawa akiombea wagonjwa kabla ya kuwanywesha dawa nyumbani kwake. (Picha kwa Hisani ya Keronyingiblog).

Wednesday, March 30, 2011

Tangazo la Ibada ya Kiswahili itakayofanyika April 3rd 2011

The Return Of Memorial Weekend,COLUMBUS,OH

This is where we gonna be on Saturday & Sunday
Two Floors
Only 4 $10 B4 Midnight
After Midnight is $15
B A Z O D I
The  CARIBBEAN SPOT
6124 BUSCH BLVD
COLUMBUS, OHIO 43229
Ladies Room
Gents Room
VIP Room
Stay Tuned More Details To Come

Dawa ya 'Babu' yasababisha mlundikano wa ARV's

BAADA ya Serikali kutangaza dawa ya Mchungaji Mstaafu Ambilikile Mwaisapile wa Loliondo, kuwa haina madhara kwa binadamu, huenda ikawa sababu ya vituo vingi vinavyotoa dawa za kupunguza makali ya virusi vya Ukimwi (ARVs) mkoani Manyara vikashindwa kutoka huduma hiyo. 

Hayo yalisemwa na Mratibu wa Afya, Uzazi wa Mama na Mtoto mkoani Manyara, Elizabeth Malley wakati akizungumza na waandishi wa habari wakati wa ufunguzi wa Mafunzo ya Mama na Mtoto yaliyotolewa na Shirika la Engender Health linalofadhiliwa na Shirika la Kimataifa la Misaada ya Maendeleo la Marekani (USAID), kwa kushirikiana na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.

Wapiganaji wa I Coast waelekea mji mkuu

Majeshi yanayomtii Rais anayeungwa mkono na Umoja wa Mataifa Alassane Ouattara yanaelekea kwenye mji mkuu wa Ivory Coast, Yamoussoukro.
Majeshi yake hivi karibuni yameteka miji kadhaa na kiongozi aliye madarakani Laurent Gbagbo ametaka mapigano yasitishwe.
Bw Gbagbo amekataa kuachia madaraka licha ya Umoja wa Mataifa kutangaza kuwa alishindwa kwenye uchaguzi wa Novemba.

HARUSI TRADE FAIR 2011

The wedding Fair Organizer, Mustafa Hassanali (right) speaks during Press Conference today at his Office


  • Monyesho ya Harusi yawa ya kitaifa
  • Mavazi ya Harusi kuonyeshwa tarehe 2 April
  • Mdahalo wa kwanza wa Harusi kuzinduliwa katika maonyesho.

Maonyesho ya mavazi ya kwanza na ya kipekee yanatarajiwa kuanza kurindima mwanzoni mwa mwezi ujao kuanzia tarehe 1 mpaka 3 katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam, huku maandalizi ya maonyesho hayo kwa mwaka huu yakiwa yamekamilika yakiwa na washiriki zaidi ya 51 waliothibitisha kushiriki.

Kamati ya Zitto yalia na General Tyre

Na Tumaini Makene

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Mahesabu ya Shirika ya Umma (POAC), imedhamiria kuinusuru kampuni ya kutengeneza matairi ya General Tyre East African Ltd. kwa
kuchunguza mchezo mchafu unaohisiwa kuwepo katika 'kifo' chake.

Kamati hiyo imeunda kamati maalumu itakayojumuisha wabunge wanne, Ofisi ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), watakaochunguza namna gani kiwanda hicho kiliweza kujipatia mkopo wa dola za Marekani milioni 10 mwaka 2005, lakini ilipofika mwaka 2008 kikashindwa kuendelea na uzalishaji.

Mali washangilia wachezaji wa Gaddafi-BBC

Maelfu ya raia wa Mali walijitokeza kuishangilia timu ya Libya katika kufuzu kwa mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwenye mji mkuu wa Mali.
Mashindano hayo yalifanyika Bamako kutokana na sababu za kiusalama nchini Libya.

Majeshi ya Gaddafi yawazidi nguvu waasi-BBC

Askari wanaomtii Kanali Gaddafi mjini Misrata
Majeshi yanayoiunga mkono serikali yamezidi kuwashambulia waasi nchini Libya, nahivyo kuwalazimu kurejea nyuma katika mji wa Bin Jawad.
Mapigano hayo mapya yameibuka baada ya wajumbe kutoka nchi mbalimbali kukutana mjini London kwenye mkutano wa kujadili mipango ya usoni ya Libya.

Urais watesa vijana wa CCM

  Sasa waanza vita vya kikanda
  Arusha wawalaani wa Pwani 
  Wamtoa mwenzao kafara
Chama cha Mapinduzi (CCM)

Tetesi na hisia za mbio za urais mwaka 2015 zinaelekea kuzidi kuugawa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) na sasa matamko ya vikao tofauti vya mabaraza ya mikoa miwili yanashutumiana kwa madai ya kuhubiri siasa za kibaguzi kuhusu urais.
Baraza la UVCCM Mkoa wa Arusha limesema limesikitishwa sana na kauli zilizotolewa na baadhi ya vijana wa UVCCM Pwani wakianza kuhubiri siasa ya kibaguzi wa makabila kwa kutoa matamko kwamba Rais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 asitoke Kanda ya Kaskazini.

TP Mazembe kutua Dar keshokutwa

Wakati mabingwa mara mbili mfululizo wa Ligi ya Klabu Bingwa Afrika, timu ya TP Mazembe kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ikitarajiwa kutua nchini keshokutwa Ijumaa, kiingilio cha chini katika mechi yao ya marudiano dhidi ya Simba itakayochezwa Jumapili kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kimetajwa kuwa ni Sh. 5,000.
Tiketi za kiingilio hicho zitatolewa kwa mashabiki watakaoketi kwenye viti vya rangi za kijani na bluu na mechi hiyo itachezwa kuanzia 9:30 alasiri.

Ndesamburo alalamika chopa kuzuiwa Kwenda kwa Babu

Mbunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo (Chadema), ameiomba serikali kuangalia uwezekano wa kuondoa zuio la helkopta kuruka kwenda katika kijiji cha Samunge, Loliondo wilayani Ngorongoro nyumbani kwa Mchungaji Ambilikile Mwasapile, kupeleka wagonjwa kupata tiba.
Taarifa iliyotolewa na Ndesamburo na kusainiwa na Katibu wake, Basili Lema, hatua ya Mamlaka ya Anga kuweka zuio kwa ndege (helkopta) kuruka kwenda Samunge ni kuwaumiza wananchi kwani kwa sasa hali ya barabara si nzuri, hivyo usafiri ulio mzuri ni wa njia ya anga.

NICK CANNON REVEALS WHY HE'S 'SO WACK' ON NEW SINGLE-The Boombox

Leon Bennett/WireImage
Nick Cannon is beating all of his critics to the punch, making fun of his rap skills (or lack thereof) on his new track 'I'm So Wack.'

The 30-year-old, and soon to be father ofMariah Carey's twins, took a little time to address all of his haters with this tongue-in-cheek account of why he's so great. "N----s say I'm wack but I don't give a f---," he starts. "If I'm so wack then why you on my nuts?/ I'm so wack I'll say it all day/ Every time you call me wack, n---- I get paid."

"I'm so wack, I'm on your blog every morning/ Tom Ford suit 'cause me so corny/ I'm so wack that b----es wanna bone me/ Wax museum, n----s wanna clone me/ Why am I, why am I wack?/ Maybe it's, maybe it's my Maybach or could it be every piece that I hit back/ When I was G-I-G-O-L-O-I-N-G to the max," he continues.

With everything on his plate, including hosting, producing and running Teen Nick, the San Diego native always manages to find his way back to the music game. His self-titled debut, released in 2003, spawned the hit 'Gigolo' featuring R. Kelly, and went on to sell 275,000 copies.

This latest track will appear on Cannon's forthcoming mixtape, 'Child of the Corn,' a playful take on his "corny" reputation. "I'm reppin for all the goofy, corny, geeky kids! Just live your life like you want to! I made CORNY COOL," he tweeted about the project. "Call me GENERAL CORNBALL WALLACE."

Listen to Nick Cannon's 'I'm So Wack'

Wanasiasa waenguliwa Tume ya Katiba Mpya

Mwandishi Wetu
MUSWADA maalumu wa kuunda Tume ya kukusanya maoni na kupendekeza muundo wa Katiba mpya ya Tanzania, unatarajiwa kuwasilishwa katika Bunge la Aprili, mwaka huu.Habari zilizolifikia gazeti hili jana zimeeleza kuwa muundo wa tume hiyo hautawashirikisha wabunge, wajumbe wa Baraza la Wawakilishi, Madiwani wala kiongozi yeyote wa kisiasa.

Tume hiyo inayotarajiwa kuwa na wajumbe 30, itaundwa na Rais Jakaya Kikwete kwa kushirikiana na Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein na wajumbe wake watakuwa ni wanataaluma, hususan wanasheria na kwamba suala la jinsia litazingatiwa.

Babu Loliondo atoa wasia kwa wagonjwa

Mzee wa kabila la wasonjo, Simbaje Wabao (81) akinywa dawa kwa Mchungaji Ambilikile Masapila katika kijiji cha Samunge, Loliondo, mkoani Arusha jana
Waandishi Wetu
MCHUNGAJI Ambilikile Masapila anayetoa tiba ya magonjwa sugu katika Kijiji cha Samunge, Loliondo amewataka wagonjwa kuendelea kutumia dawa za hospitali hata baada ya kunywa dawa yake.Akizungumza kijijini hapo jana, Mchungaji Masapila alisema hakuna madhara kwa mgonjwa kuendelea na dawa zake za awali hata baada ya kunywa dawa yake na kwamba si vyema kuacha ghafla kutumia dawa hizo.“Hii dawa yangu inatibu, lakini haizuii kunywa nyingine, unaweza kunywa na ukiona umepona kabisa usiendelee kunywa dawa hizo,” alisema.

Sakata la kikombe jijini Mbeya Na Mbeya yetu Blog

Tuesday, March 29, 2011

DICOTA Election Flier

UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON DC WAITANGAZA TANZANIA MASHULENI MARYLAND

Ubalozi wa Tanzania Washington DC kwa kushirikiana na kampuni ya Utalii ya Vacation 2 Africa inayomilikiwa na Mtanzania Thomas Andrerico Kisura imeanza na utaratibu mpya wa kuitangaza Tanzania kiutalii kwa wanafunzi wa shule mbali mbali hapa Marekani. Mwishoni mwa wiki Bw. Thomas Andrerico Kisura ambae amekuwa mshirika wa karibu wa Ubalozi katika kuitangaza Tanzania na vivutio vyake vya Utalii alishiriki katika maonyesho maalum yaliyokuwa na mvuto wa aina yake ambapo wanafunzi zaidi ya 500 walishiriki. Tanzania ilitangazwa vizuri na kufahamika vyema na Ubalozi unamshukuru Bw. Thomas Anderico Kisura kwa juhudi zake na uzalendo wake wa kushirikiana na Ubalozi kuitangaza nchi yetu.
Picha juu na chini ni Bw. Thomas  Andrerico Kisura akiwa katika zoezi kuitangaza Tanzania kwa wanafunzi wa Garriison Elementary huko Baltimore Maryland.
Seif Msabaha nae akiwa katika zoezi la kumsaidia Thomas Kisura kuitangaza Tanzania
Seif Masabaha (shoto) akisikiliza utambulisho wa Thomas Kisura kwa wanafunzi na Principal wa Garriison Elementary huko Baltimore Maryland
Kushoto ni Ada Brown mwandaaji wa onesho hili katika picha ya pamoja na Thomas Kisura(kati) na Chief wa Gabon kama alivyokua akijiita ambae alikua anawakilisha Ubalozi wao kwenye maonyesho hayo.

Liz James Invites You To Her Birthday Bash,Sat April 2nd

Come celebrate and wish Liz a happy Birthday and make
 this Night memorable.
Liz amelipa Gharama za Dj na Ukumbi kwa hiyo hakutakua na kiingilio siku hii ya Jumamosi April 2,2011 siku ya Birthday yake na anaomba uje na kivazi cheupe
Wazungu wanasema 
Dress Code ALL WHITE
Address ni
3433 Connecticut Ave NW, 
Washington, DC

KARIBUNI
**************
Don't Forget
Liz James Invites You To Her  Birthday Bash,Sat April 2nd
Music
By

LUKE
alongside with
Dj
D-UG
Free B4 11:30 pm
After 11:30pm is $ 15
Address
2017 Veirs Mill Rd,
Rockville,MD

ADAM NDITI MBONGO ANAYECHEZEA CHELSEA VIJANA


Adam Nditi Adam Nditi of Chelsea in action during the FA Youth Cup match between Chelsea and Arsenal at Stamford Bridge on January 20, 2011 in London, England.
Juu na chini ni Mchezaji Mbogo anayechezea Chelsea, Adam Nditi akiwa uwanjani na timu yake wakati wa mechi ya Kombe la FA kwa vijana kati ya Chelsea na Arsenal mchezo uliopigwa katika uwanja wa Stamford Bridge Januari 20, 2011 mjini London,Uingereza.
picha kwa hisani Clive Rose wa Getty Images ya Ulaya
Adam Nditi Adam Nditi of Chelsea in action during the FA Youth Cup match between Chelsea and Arsenal at Stamford Bridge on January 20, 2011 in London, England.Adam Nditi Adam Nditi of Chelsea in action during the FA Youth Cup match between Chelsea and Arsenal at Stamford Bridge on January 20, 2011 in London, England.
Hii ni kideo ya mechi yenyewe kipindi cha pili ambayo Adam Nditi amevaa jezi #15

Diwani adaiwa kusimamia baba yake auawe

DIWANI wa Kata ya Ipinda wilayani Kyela, Hunter Mwakatuma, anadaiwa ‘kusimamia’ mauaji ya baba yake mzazi kwa madai ya baba huyo amehusika katika kifo cha mwanawe ambaye ni mdogo wa diwani huyo. 

Baba huyo, Albert Mwakatuma, ambaye umri wake haujafahamika na mkazi wa Kijiji cha Mabunga katika kata hiyo, aliuawa Jumatano iliyopita kwa kupigwa mawe na wakazi wa kijiji hicho mara baada ya maziko ya mwanawe, Mawazo Mwakatuma. 
Image
Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akiwauliza maswali ya masomo ya Fizikia na Kemia wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Edward Lowassa Wilayani Monduli, alipokuwa kwenye ziara ya kutembelea majengo ya shule hiyo pamoja na kuangalia maendeleo ya wanafunzi hao. Makamu wa Rais yupo Mkoani Arusha kwa ziara ya siku nne ya kukagua na kuzindua miradi ya maendeleo. (Picha na Amour Nassor)

Hatimaye kikombe Cha mabatini charuhusiwa

 Kaimu mkuu wa Mkoa Mbeya Moses Chitama akiwatuliza wananchi wenye jazba ya kusimamishwa  mganga wa jadi Jafari Willina kutoa tiba ya ukimwi na magonjwa mengine sugu baada ya kutulia kaimu mkuu wa mkoa huyo aliwaeleza wananchi kuwa serikali ya mkoa imeruhusu kuendelea kupata kikommbe hicho cha dawa kwa kuzingatia taratibu zote za afya pia na kumuagiza kijana Jafari kutafuta eneo jingine kubwa lenye maji na choo kwani hapo alipo sasa si eneo salama sana kwa afya ya binadamu
Kaimu mkuu wa mkoa Moses chitama na kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa mbeya  Advocate Nyombi  wakimsikiliza mmoja wa wagonjwa  Hassan akitoa ushuhuda wa dawa  ya Jafari
Jafari willina akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kuruhusiwa kuendelea kutoa tiba
Mzee Anangisye  naye hakuwa mbali na kuandamana kupinga kusitishwa kwa kikombe cha mabatini 

Picha zote kwa hisani mbeya Blog