VIDEO: ALICHOKISEMA BALOZI DR. KAMALA KWENYE ZIARA YA GHAFLA KATIKA KITIO CHA AFYA KABYAILE - ISHOZI WILAYANI MISSENYI
Mbunge
wa jimbo la Nkenge, Balozi Dr. Diodorus Kamala afanya ziara ya kushtukiza kituo
cha afya Kabyaile na kubaini changamoto ya huduma watumishi, miundombinu na
vitendea kazi.
No comments:
Post a Comment