Advertisements

Thursday, May 23, 2019

BALOZI WA SWEDEN NCHINI AFIKA OFISINI KWA SPIKA KUMUAGA

 Balozi wa Sweden nchini Bi. Florence Tinguely Mattli (aliyesimama) akitambulishwa Bungeni na Spika wa Bunge Job Ndugai (hayupo pichani). Balozi huyo alifika Ofisini kwa Spika kumuaga baada ya kumaliza muda wake.
 Spika wa Bunge Job Ndugai akifurahia jambo na Balozi wa Sweden nchini Bi. Florence Tinguely Mattli aliyefika Ofisini kwake kumuaga baada ya kumaliza muda wake.
  Spika wa Bunge Job Ndugai akimueleza jambo Balozi wa Sweden nchini Bi. Florence Tinguely Mattli aliyefika Ofisini kwake kumuaga baada ya kumaliza muda wake .
 Spika wa Bunge Job Ndugai katika picha ya pamoja na Balozi wa Sweden nchini Bi. Florence Tinguely Mattli aliyefika Ofisini kwake kumuaga baada ya kumaliza muda wake.
Katibu wa Bunge Ndg. Stephen Kagaigai akisalimiana na Balozi wa Sweden nchini Bi. Florence Tinguely Mattli aliyefika Ofisini kwa Spika kumuaga baada ya kumaliza muda wake. PICHA NA BUNGE

No comments: