Advertisements

Friday, May 24, 2019

WABUNGE WAPEWA SEMINA YA BAJETI

 Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti Mhe. Andrew Chenge akichania jambo katika semina ya mapitio ya Bajeti kuu ya Serikali ya mwaka 2018/2019 iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma hii leo. (Picha na Ofisi ya Bunge)
Wajumbe wa Kamati ya Bajeti wakifuatila jambo katika semina ya mapitio ya Bajeti kuu ya Serikali ya mwaka 2018/2019 iliyotolewa na Ndg. Cliff Muga kwenye Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.(Picha na Ofisi ya Bunge)

No comments: