Advertisements

Wednesday, October 27, 2021

PITA PITA YA VIJIMAMBO BLOG USO KWA MACHO NA NY EBRA AKIWA KWENYE HARAKATI ZA NAWAZA TU 2025..

Hapa ni Ny Ebra Akiwa na wananchi baada ya kuwaandalia bonanza la mpira wa miguu hii ni katika harakati za kuchukua jimbo 2025. Ny Ebra ni mdau mkubwa wa mpira wa miguu kwaiyo ndo maana kwake imekuwa rahisi kuanza na jambo hili kwa kuwakusanya vijana pamoja na kuwatengenezea mazingira ya umoja. Bonanza hili lilikutanisha timu ya veterani na vijana na mshindi alipata mipira na jersey kwa timu zote baada ya mchezo. Na jambo hili litakuwa endelevu kwani kutakuwa na ligi itakayo shirikisha timu za maeneo hao. Ligi hiyo itaitwa  #NAWAZA TU 2025# Kwa taswira zaidi nenda chini.

Ny Ebra akiwaonesha vijana kuwa na yeye bado yumo licha ya umri kusogea machweo.

Ny Ebra akipata ukodak na timu zote mbili kabla ya mchezo kuanza, Ny Ebra anatema huu ni mwanzo tu
 

No comments: