Monday, June 24, 2024

WAZIRI JAFO, NAIBU WAKE WASHIRIKI KIKAO CHA BUNGE


Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo (kulia) akishiriki kikao cha 52 mkutano wa 15 wa Bunge jijini Dodoma leo tarehe 24 Juni, 2024. Wengine kuanzia kushoto ni Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande na Naibu Waziri Ofisi ya Rais (Mipango na Uwekezaji) Mhe. Stanslaus Nyongo.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo akizungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama wakati wa kikao cha 52 mkutano wa 15 wa Bunge jijini Dodoma leo tarehe 24 Juni, 2024.
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis akiwa na Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu wakati wa kikao cha 52 mkutano wa 15 wa Bunge jijini Dodoma leo tarehe 24 Juni, 2024.
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis akiwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknlojia ya Habari wakati wa kikao cha 52 mkutano wa 15 wa Bunge jijini Dodoma leo tarehe 24 Juni, 2024.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo akiwa na Naibu Waziri Ofisi ya Rais (Mipango na Uwekezaji) Mhe. Stanslaus Nyongo katika kikao cha 52 mkutano wa 15 wa Bunge jijini Dodoma leo tarehe 24 Juni, 2024.

No comments: