Advertisements

Tuesday, December 15, 2015

DR .MWAKA ACADEMIC CERTIFICATE SHOWN AFTER BEING DECIDED TO SHOW BY DR HAMIS KIGWANGALA


7 comments:

Anonymous said...

TUNATAKA KUONA KAMA IMEANDIKWA DOCTOR OF MEDICINE, MAANA HIYO NDIYO INAKUFANYA UITWE DAKTARI WALA SIYO KUONYESHA HIVYO VYETI VYA VICHOCHORONI VYA KICHINA. NCHI HII SASA IMEZIDI NA TUSIPOCHUKUA HATUA TUTAWAKUTA KINA "PROFESSA MAJI MAREFU" DR YULE WA MPIRA SIJUI ANAITWA NANI, "DOKTA LUTTA NELSON" DR. MATUNGE, DR MWAKA" DR. NANI SIJUI NA WENGINE WENGI....WAKIULIZWA WAMEPATA WAPI UDAKTARI WAO, HAPO UTASIKIA HADITHI NYINGI ZISIZOISHA MARA OOH MKE WANGU NDIYO KANIPATIA N.K. JAMANI WATANZANIA HESHIMUNI DEGREE ZA WATU, HAO MADAKTARI WAMEPOTEZA MIAKA MINGI KUSOMEA TAALUMA ZAO IWE M.D AU Ph.D HALAFU HAO WATU WANAONA URAHISI WA KUJIBANDIKA HIVYO VYEO. WEWE SIJUI MWAKA UNAYEJIITA DAKTARI NASIKIA UNADANGANYA WANAWAKE KWAMBA WEWE NI GYNEOCOLOGIST JE UNAELEWA UNACHOKIFANYA AU UNAFIKIRI NI UNACHOKIFANYA NI RAHISI? UNAHATARISHA AFYA ZA WATANZANIA, UNATAKIWA UFUNGWE.

Anonymous said...

Huu ujinga wa Red Cross ndiyo unampa mtu credentials za ku-pracitce medicine? Haya matusi kwa watu wenye taaluma zao.

Anonymous said...

Try again,this certificate ndio inakushtaki ....you attended the clinicals, did you skip theory, Second this is more of a recommendation letter as it is comfirming your attendance to the fundamentals which by definition that's entry level, year 1.How could that make one a gynecologist? That is a speciality after you have mastered general medicine.it is time to bring accountability in our healthcare practice. We are sick and tired of Malpractices and negligence of those we entrust with our lives.Countless deaths in the name of "God loves you more" is the most ridiculous thing to say for a nation that claims knowledge. We would rather have no treatment than having Doctors or those who claim to be Doctors continue to hurt our nation.This field has to be regulated, graduates must pass an international bar and we must establish a recertification program to ensure continues competency. Technology changes and so is the treatment. When a patient dies under ones care there has to be a board to report and review the death and learn what could have been done differently so we can do better next time. Patients must be educated in what ever treatment they are receiving including the consequences of the treatment choice.

Anonymous said...

Hii ni recomendation letter ndg !! hiki chuo cha Red cross kiko wapi?achani kucheza na afya za watanzania,
Madr amkeni na mkemee hawa watu wanaodhalilisha taaluma yenu kwa jina la tiba mbadala

Anonymous said...

Haya ni matokeo ya mapungufu ya serikali ya awamu 4 ya ku accomodate credentials za vichochoroni.kumbukeni katika serikali ya awamu ya 4 tulikuwa na mawaziri,ambassadors walikuwa na credentials zisizoeleweka.Naona hao akina Mwaka wakaona kuwa ni ok.
Kelele nyingi zilipigwa kwenye mitandao kuhusiana na viongozi kuwa na credentials zenye utata lkn serikali ikapuuza.

Anonymous said...

NADHANI TUNACHANGANYA MADA HAPA!,KINACHOPELEKEA KUTUMIA MOYO ZAIDI BADALA YA AKILI NI HASIRA ZINAZOCHOKONOZWA NA UMASIKINI.NI USONGOMBINGO UNAOKARIBIA UCHIMVI KUDHANI KUWA KINACHOMFANYA MTU KUITWA DOKTA NI JINA LA "DOKTA" BADALA YA CHEO CHA "DOKTA".HATA REMMY ONGALA (MUNGU AMREHEMU) NAYE ALIITWA DOKTA NA AKAJIITA DOKTA LAKINI HAKUWA DOKTA KWA MAANA YA KUTINU BINADAMU AU WANYAMA.KWA HARAKA HARAKA (LOOSE SENSE), MTU ANAYETIBU WATU HUITWA DOKTA AU KUJIITA DOKTA KWA MAANA YA CHEO CHA DOKTA.MANENO MGANGA,DOKTA AU TABIBU MARA NYINGI HUTUMIKA KAMA MBADALA KWA KILA MOJA,INGAWA WASOMI WA SASA WANAOPENDA SANA HADHI WANAFIKIRI KUWA JINA TABIBU AU MGANGA NI DHAIFU KWA DOKTA,KIMANTIKI SIKUBALIANI NAO ISIPOKUWA NAKUBALIANA NAO KIMKAKATI.HUYU DR MWAKA HAITWI AU KUJIITA DOKTA KWA SHAHADA YA UDAKTARI ISIPOKUWA NI KWA SABABU YA UTAALAMU WAKE WA KUTIBU BINADAMU.WATANZANIA TUMEJIFIKISHA HAPA TULIPO KWA UVIVU WA KUFIKIRI NA KIBURI CHA KITAALUMA (INTELLECTUAL ARROGANCE), KWAMBA KWETU SISI KUMUITA MTU "DAKTARI" KWA SABABU TU ANA SHAHADA YA UDAKTARI BILA KUJALI KAMA ANATEKELEZA ELIMU HIYO KWA VITENDO AMA LA NI SAHIHI, LAKINI MTU ANAETIBU MAELFU KIJIJINI KWA KUTUMIA MITISHAMBA NI MARUFUKU KUITWA DAKTARI....INACHEKESHA SANA,TENA SANA.KWA TAARIFA YENU NCHINI CHINA HAKUNA ANAYEITWA "DAKTARI", WAO WANAITA "PHYSICIAN".
TUKIWA WAKWELI HAPA KWETU TANZANIA NI AKINA NANI WANAOKOA MAISHA YA WATANZANIA KWA HALAIKI? NI HAO WENYE SHAHADA ZA UDAKTARI AU HAO MATABIBU?.HIVI DR KINGWANGALA NA TABIBU MWAKA NI NANI HASA AMBAYE WALAU ANATIBU WATANZANIA?.
SIYO LENGO LANGU KUMTETEA DR MWAKA ISIPOKUWA NAJARIBU KUWA MKWELI KIMANTIKI KULIKO KIMKAKATI.
DR MWAKA AMEONESHA CHETI, NI BUSARA TUMPIME KWA CHETI HIKO NA TUKIFANYIE UPEKUZI (VETTING)ILI KUJIRIDHISHA KAMA KWELI AMESOMEA CHINA NA SIYO HIVI VYETI VYA MAGUMASHI.BAADA YA HAPO TUTOE "VERDICT" KWAYO KULIKO KUIGEUZA MADA KUWA NI YA JINA LA "DAKTARI" WAKATI KIMSINGI "DAKTARI" SIYO JINA BALI NI CHEO CHA DAKTARI.

Unknown said...

Hii Habari kumbe haijakwisha