Advertisements

Tuesday, April 11, 2017

RAIS DKT MAGUFULI APOKEA TAARIFA YA UTENDAJI KAZI YA TAKUKURU YA 2015/2016

 Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Mkurugenzi mkuu wa TAKUKURU Kamishna Valentino Mlowola akitoa muhtasari wa Taarifa ya Utendaji Kazi wa TAKUKURU ya mwaka 2015/2016 Ikulu jijini Dar es salaam leo Jumanne 11, 2017.
  Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea toka kwa Mkurugenzi mkuu wa TAKUKURU Kamishna Valentino Mlowola Taarifa ya Utendaji Kazi wa TAKUKURU ya mwaka 2015/2016 Ikulu jijini Dar es salaam leo Jumanne 11, 2017.
  Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli baada ya kupokea Taarifa ya Utendaji Kazi wa TAKUKURU kwa mwaka 2016/2017 Ikulu jijini Dar es salaam leo Jumanne 11, 2017.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na Mkurugenzi mkuu wa TAKUKURU Kamishna Valentino Mlowola na watendaji wa taasisi hiyo baada ya kukabidhiwa Taarifa ya Utendaji Kazi wa TAKUKURU kwa mwaka 2015/2016 Ikulu jijini Dar es salaam leo Jumanne 11, 2017.



PICHA NA IKULU

No comments: