Advertisements

Wednesday, April 19, 2017

UTALII WA BALOON WAWA KIVUTIO KIKUBWA KATIKA HIFADHI YA TAIFA YA SERENGETI

Kikapu maalumu kinachotumika katika Baloon kwa ajili ya kubeba watalii kikishushwa katika eneo la Hifadhi ya Taifa ya Serengeti kwa ajili ya Utalii wa Baloon.
Waandaaji wa Baloon wakifanya maandalizi ya kuliandaa Baloon hilo kwa ajili ya kubeba wageni wakati wa maandalizi ya kutalii katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.

Rubani wa Baloon linalo milikiwa na Kampuni ya Serengeti Balon Safari  ,Masoud Mohamed akitoa maelekezo kwa crew yake wakati wa maandalizi ya balon hiyo.
Watangazaji wa Kipindi cha Clouds 360 James Tupatupa na Sam Sasali wakiwa mbele ya Baloon wakati liwekewa hewa kabla ya kuanza safari ya utalii.
Baloon likiwekewa hewa .
Sehemu ya ndani ya Baloon ikionekana wakati likijazwa hewa kabla ya kuanza safari.
Baloon ikijazwa hewa kabla ya kuanza safari ya Utalii.
Rubani wa Baloon Masoud Mohamed akiruhusu gesi kwa ajili ya kuchoma Oxygen wakati wakiandaa Baloon kwa ajili ya kuanza safari ya utalii katika Hifadhi ya Taifa ya Seengeti.
Baadhi ya Wageni wakifurahia jambo na Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti,William Mwakilema walipokuwa wamepanda Baloon kuzunguka katika maeneo mbalimbali ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
Rubani wa Baloon ,Masoud Mohamed akiongoza chombo hicho kupita maeneo mbalimbali ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
Baadhi ya wageni wakiwemo Wanahabri wakiwa katika kikapu maalum kinachobebwa na Baloon .
Baloon likiwa angani ambapo watalii wamekuwa akifanya utalii huu wa aina yake unaofanyika katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
Msafara wa Pundamilia ukiwa kwenye uwanda wa nyasi fupi ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
Muonekanao wa ndani wa Baloon wakati likiwa angani.
Baadhi ya wageni wakiwemo wanahabari walipanda Baloon kwa ajili ya kufanya utalii katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
Na Dixon Busagaga wa 
Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

No comments: