Advertisements

Friday, June 2, 2017

OLD SCHOOL REUNION, COLUMBUS, OH KUWAKA MOTO LABOR DAY NICO NA RENATUS NJOHOLE KUINGOZA SIMBA ,DEO NGASSA YANGA UGHAIBUNI, WACHEZAJI WALIOTAMBA PAZI, VIJANA, DON BOSCO KUONYESHANA MAUJUZI

MAMA MITINDO ASYA IDAROUS KHAMSIN, MISSY TEMEKE KUWASHA MOTO IJUMAA KUONYESHA UBUNIFU WA VIVAZI
Kikosi cha Simba kikiongozwa na Nico na Renatus Njohole Dallas, Texas.
Kikosi cha Yanga
Kikosi cha Simba kikiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Balozi Wilson Masingingi na mkewe siku walipotwaa ubingwa Dallas, Texas wakati wa kongamano la DICOTA
Kulia ni mkuu wa Wilaya Mhe. Kasesela akiwa Hoston katika picha ya pamoja na wachezaji wa Pazi enzi hizo Vitalis Gunda na Atiki Matata aliyekuja toka Uingereza kuiwakilisha Pazi.
Timu ya Tanzania iliyoundwa na wachezaji waliotamba enzi hizo katika timu za Pazi, Vijana, Don Bosco na kwengineko wakinyanyua juu kikombe walicho kipata baada ya kuifunga timu ya Gabon

1 comment:

Anonymous said...

Dj Luke, ni vipi nitaweza kushiriki mechi ya Simba na Yanga kama mchezaji?

Frank M.