Advertisements

Monday, July 31, 2017

GAVANA WA JIMBO LA MASHARIKI LA RWANDA ATEMBELEA MKOA WA KAGERA

Gavana wa Jimbo la Mashariki la Rwanda Mhe.Judith Kazaira Atembelea Mkoa wa Kagera leo Jumatatu Julai 31,2017 na kukutana na Mhe.Salum Kijuu,Mkuu wa Mkoa wa Kagera na kufanya mkutano wa Ujirani mwema na uongozi wa Mkoa huo yeye na ujumbe wake. Pichani juu Mhe.Kazaira aliyeambatana na Balozi wa Rwanda nchini Mhe.Eugene wakipokekewa na Bw.Suleiman Saleh,Mkurugenzi Msaidizi,Idara ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Gavana wa Jimbo la Mashariki la Rwanda Mhe.Judith Kazaira Atembelea Mkoa wa Kagera leo Jumatatu Julai 31,2017 na kukutana na Mhe.Salum Kijuu,Mkuu wa Mkoa wa Kagera na kufanya mkutano wa Ujirani mwema na uongozi wa Mkoa huo yeye na ujumbe wake. Pichani juu Mhe.Kazaira aliyeambatana na Balozi wa Rwanda nchini Mhe.Eugene wakipokekewa na Bw.Suleiman Saleh,Mkurugenzi Msaidizi,Idara ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.

No comments: