Advertisements

Friday, July 21, 2017

VIDEO:SHULE YA SEKONDARI LONDONI YASHIKA NAFASI YA KWANZA KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA KWA MANISPAA YA SONGEA

Shule ya sekondari LONDONI iliyopo katika manispaa ya SONGEA mkoani RUVUMA, ni kati ya shule zilizofanya vizuri katika matokeo ya kidato cha sita mwaka 2017 ambapo kwa mwaka 2017 imeshika nafasi ya kwanza katika manispaa ya SONGEA huku kimkoa imeshika nafasi ya nne.HABRI KAMILI HII HAPA VIDEO YAKE.

No comments: