Advertisements

Wednesday, July 19, 2017

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AONGOZA MAZISHI YA LINAH MWAKYEMBE

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Mbeya, Erasto Zambi (kushoto) na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Songwe mkoani mbeya kuhudhuria mazishi ya Linah George Mwakyembe yaliyofanyika Kyela, Julai 19, 2017.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitia saini kitabu cha maombolezo baada ya kuwasili nyumbani kwa Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe  kushiriki katika mazishi ya mke wa Waziri huyo, Linah George Mwakyembe yaliyofanyika Kyela Julai 19, 2017.  Kulia ni  mkewe Mary.


  Askofu, Rabison Mwakanani wa Kanisa la Evangelical Brotherhood la Mbeya akizungumza katika Ibada ya mazishi ya Linah George Mwakyembe , Mke wa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sana na Michezo,Dkt. Harrison Mwakyembe yaliyofanyika Kyela, Julai 19, 2017.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary  (wapili kushoto) wakishiriki katika ibada ya mazishi ya Marehemu, Linah George Mwakyembe, Mke wa Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo,  Dkt Harrison Mwakyembe katika mazishi yaliyofanyika  Kyela Julai 19, 2017.  Wengine pichani kutoka kushoto ni Waziri Mkuu Mstaafu, John Malecela, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya  Amos Makalla, Spika wa Bunge, Job Ndugai, Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson Mwansasu kulia ni Waziri wa  Kilimo na Mifugo,   Dkt . Charles Tizeba.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akisalimiana na viongozi wa dini walioongoza ibada ya mazishi ya Linah George Mwakyembe, mke wa Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo,  Dkt. Harrison Mwakyembe yaliyofanyika  Kyela Julai 19,2017.
 aziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakitoa heshima za mwisho kwa marehemu, Linah George  Mwakyembe, mke wa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe katika mazishi yaliyofanyika Kyela, Julai 19, 2017.
 Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo, Dkt.  Harisson Mwakyembe pamoja na familia yake wakiwa pamoja na waombolezaji wakati wa Ibada ya ya mazishi ya mkewe, Linah George Mwakyembe yaliyofanyika Kyela, Julai 19, 2017.
 Mwili wa Linah George Mwakyembe , mke wa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe ukiteremshwa kaburini katika mazishi yaoiyofanyika Kyela, Julai 19, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakiweka shada la Maua kwenye  kaburi la  Linah George Mwakyembe, mke wa Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe katika mazishi yaliyofanyika Kyela Julai 19, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: