Advertisements

Thursday, March 22, 2018

MAMBO YALIVYONOGA KWA MR AND MRS MAKALLA WA ATLANTA GA, WALIPOKUSANYIKA NA MARAFIKI ZAO KUMPONGEZA MAMA YAO KWA SIKU YA KUZALIWA NA VILEVILE KUMUAGA NA KUMTAKIA SAFARI NJEMA.

Mama mzazi wa Mrs Agnes Makalla
mama akitunzwa madolari na wanae
"shukrani sana kinamama wenzangu nawapenda"
Mama akitoa neno la shukrani kwa kila aliyefika
Mr and Mrs Makalla wakitoa neno la shukrani

Furaha ilitawala kwa kila aliyekuwepo
raha tuuuu 
makofi na shangwe nyngi kwa mama
Kapuya na Da Lila wakimkusanyia mama madola yake





Jordan nae alikuwepo kushuhudia sherehe ya bibi
wakicheza kwa furaha
Wakanda forever




mama akiendelea kutunzwa 
Digna akimtunza mama 
vinywaji vikiendelea





muziki ukikolea




utaratibu ukiendelea 
house party na raha zake (igweeeeeee)

wakinamama walosambaza upendo







Kaka la kaka





lovely family 
Kareokee time
mapezni ya mama na mwana wakiimba

Dj Mose akitoa neno kabla ya kuimba
Makulusa ngo ngo ngo










No comments: