Advertisements

Friday, June 22, 2018

NAIBU SPIKA DKT. TULIA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA MKURUGENZI MKAZI SHIRIKA LA VOLUNTARY SERVICES OVERSEA BUNGENI JIJINI DODOMA.

  Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Voluntary Services Oversea (VSO) Tanzania, Ndg. Dawn Hoyle alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
 Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (kushoto) akizungumza na ugeni kutoka Shirika la Voluntary Services Oversea (VSO) Tanzania ulioongozwa na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Voluntary Services Oversea (VSO) Tanzania, Ndg. Dawn Hoyle (wa pili kushoto) walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini
Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (wa pili kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na ugeni kutoka Shirika la Voluntary Services Oversea (VSO) Tanzania walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

No comments: