Advertisements

Saturday, June 16, 2018

TAMCO YANDAA SHEREHE ZA EID EL FITR DMV


Mwenyekiti wa TAMCO Ally Mohamed (kushoto) akiwa pamoja nae Balozi mstaafu wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani,Mhe. Mustafa Nyang'anyi katika sherehe ya Eid el Fitr iliyofanyika siku ya Ijumaa June 15, 2018 Silver Spring, Maryalnd. Jumuiya hiyo ya Kiislam DMV ilisherehekea sherehe hiyo sambamba na Waislam wengine, Duniani. Picha na Vijimambo Blog na Kwanza production kwa hisani ya Kilimanjaro Studio

WaTanzania DMV wakijumuika pamoja kusherehekea sikukuu ya Eid el Fitr iliyofanyika siku ya Ijumaa June 15, 2018 Silver Spring, Marland.

Makamu wa Rais wa Jumuiya ya waTanzania DMV Bi. Joha Nyang;anyi akihudhuria sherehe hizo kulia ni mama yake mama Nyang'anyi.

WaTanzania wakijumuika pamoja kusherehekea sikukuu ya Eid el Fitr DMV, kulia ni Mikidadi Ally Mweka hazina msaidizi wa Jumuiya ya waTanzania DMV.

Kwa picha zaidi bofya soma zaidi.


No comments: