Advertisements

Thursday, September 20, 2018

TAWLA TANGA YAENDESHA MDAHALO WA WADAU WA MASUALA YA ARDHI MKOANI TANGA

Mratibu wa Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania Mkoani Tanga TAWLA Latifa Ayoub akisisitiza jambo wakati wa mdahalo wa wadau wa masuala la ardhi mkoani Tanga leo mjini Tanga kuhusu changamoto zinazowakabili wanawake kwenye kumiliki ardhi uliofanyika leo kwenye ukumbi wa YDC Jijini Tanga ukihusisha wadau kutoka maeneo mbalimbali ulioandaliwa na chama hicho
 Mratibu wa Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania Mkoani Tanga TAWLA Latifa Ayoub kulia akisisitiza jambo wakati wa mdahalo wa wadau wa masuala la ardhi mkoani Tanga leo mjini Tanga
kuhusu changamoto zinazowakabili wanawake kwenye kumiliki ardhi kushoto ni Mwanasheria wa TAWLA Mkoani Tanga Mwanaidi Kombo ambapo mdahalo huo uliandaliwa na chama hicho

Mwanasheria wa TAWLA Mkoani Tanga Mwanaidi Kombo akisisitiza jambo kwenye mdahalo huo
 Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi na Nyumba Tanga Doris Wilson Mangwe akizungumza katika mdahalo huo
 MWANASHERIA wa Halmashauri ya wilaya ya Muheza mkoani Tanga katika Sigisbert Akwilini akiwa na wadau wengine wakifuatilia mdahalo huo ambao uliandaliwa na Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) mkoani Tanga 
Madiwani wa Kata za Chumbangeni Saida Gadafi CCM) kushoto akiwa na Diwani wa Kata ya Majengo (CUF) Suleimani Mbaruku wakifuatilia mdahalo huo
 MWANASHERIA wa Halmashauri ya wilaya ya Muheza mkoani Tanga Sigisbert Akwilini akichangia kwenye mdahalo huo
 Afisa Mipango wa wilaya ya Muheza mkoani Tanga Rehema Akida akizungumza katika mdahalo huo
 Afisa Mtendaji wa Kata ya Mabokweni Salim Mdoe akizungumza katika mdahalo huo
 Afisa Mtendaji wa Kata ya Masiwani Jijini Tanga Sheria Salame akizungumza katika mdahalo huo
 Baadhi ya wadau wa mdahalo huo wakizungumza
 Mwansiti Bashiru kutoka kata ya Mbaramo wilayani Muheza akizungumza katika mdahalo huo
Diwani wa Kata ya Majengo (CUF) Suleimani Mbaruku

No comments: