Mgeni Rasmi Balozi wa Africa Union, Mhe. Dr. Arikana Chihombori Quao siku ya kongamano la wanawake lililofanyika June 22, 2019 Gaithersburg, Maryland.
Mwanasheria wa Uhamiaji Fatimata Barrie akiongelea sheria za uhamiaji kwenye kongamano la wanawake lililofanyika siku ya Jumamosi June 22, 2019 Gaithersburg, Maryland.
Grace Mlingi kiongozi wa kitengo cha Vijana Jumuiya ya waTanzania DMV akiongea siku ya kongamano la wa wanawake.
Wanawake wakiwa kwenye kongamano lao wakifuatilia hotuba ya Balozi wa Africa Union Mhe. Dr. Arikana Chihombori Quao.
Hotuba ikiendelea.
Wanawake wakisimama kwa shangwe kumshangilia Balozi wa Africa Union mara tu alipomaliza hotuba yake.
Mhazina wa Jumuiya ya waTanzania DMV Bi. Lysa Bantu akiongea jambo.
Kamati ya Jamii na Uchumi kitengo cha wanawake na watoto wakifutilia hotuba ya Balozi wa African Union nchini Marekani Mhe. Dr. Arikana Chihombori Quao siku ya kongamano la wanawake DMV. Kwa picha zaidi bofya soma zaidi
No comments:
Post a Comment