Advertisements

Sunday, June 23, 2019

Tanzania yawa mwenyeji wa Kongamano la Kikristo Afrika Mashariki

Mkurugenzi wa Shirika la Ubalozi wa Kimataifa wa Kikristo- Jerusalem (ICEJ) tawi la Tanzania, Stanton Newton Kanyiki akizungumza kwenye kongamano la Kikristo Afrika Mashariki lililofanyika jijini Mwanza kuanzia Juni 18-23, 2019 katika Kanisa la KKT Usharika wa Imani.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Mkurugenzi wa shirika la ICEJ Tanzania, Stanton Newton Kanyiki (kushoto) akitoa ufafanuzi kuhusiana na Kongamano la Kikristo Afruka Mashariki. Kulia ni mkarimani kwenye kongamano hilo.
Washiriki kutoka nchi mbalimbali Afrika Mashariki zikiongozwa na mwenyeji Tanzania, wakifuatilia kongamano hilo.

Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Makanisa jijini Mwanza, Askofu Amos Hulilo (kulia) akizungumza kwenye kongamano hilo kwa niaba ya Mwenyekiti.
Mkuu wa Wilaya Nyamagana, Dkt. Philis Nyimbi akizungumza kwenye ufunguzi rasmi wa kongamano hilo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella.
Viongozi mbalimbali wakifuatilia kongamano hilo.
Viongozi wa dini kutoka mataifa mbalimbali Afrika Mashariki na Israel wakifuatilia kongamano hilo.
Mgeni rasmi, Mkuu wa Wilaya Nyamagana Dkt.Philis Nyingi aliyemwakilisha Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella akiwasili katika viunga vya Kanisa la KKT Usharika wa Imani kufungua rasmi kongamano hilo.
Mgeni rasmi akilakiwa kwenye viunga vya Kanisa la KKT Usharika wa Imani jijini Mwanza kwa ajili ya ufunguzi rasmi wa kongamano hilo.
Mgeni rasmi, Mkuu wa Wilaya Nyamagana Dkt. Philis Nyingi (wa pili kulia)akisalimiana na Mkurugenzi wa ICEJ Tanzania, Stanton Newton Kanyiki (wa tatu kushoto)
Mgeni rasmi, Mkuu wa Wilaya Nyamagana Dkt. Philis Nyingi (wa pili kulia)akisalimiana na Makamu wa Rais wa ICEJ Israel, Dkt. Mojmir Kallus (wa tatu kushoto).
Viongozi wa ICEJ Tanzania na Israel wakiwa kwenye picha ya pamoja na waandishi wa habari jijini Mwanza.
Tazama Video hapa chini

No comments: