Wanawake Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wakiwa wanafanya mazoezi ya viungo kuelekea kilele cha Siku ya Wanawake Diniani Machi 8, 2021.
Awali tarehe 05, machi 2021, Wanawake hao walitembelea Kituo cha kulelea watoto Tumaini kilichopo kata ya Miuji Jijini Dodoma na kutoa vifaa mbalimbali na zawadi kwa watoto hao.
Kauli mbiu ya maadhimisho hayo kwa mwaka huu ni “Wanawake katika Uongozi, chachu kufikia Dunia yenye usawa”
No comments:
Post a Comment