Advertisements

Saturday, October 23, 2021

BILLIONI 7.4 ZATENGWA KUBORESHA HUDUMA KATIKA MAKAZI YA WAZEE NCHINI

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akiwasilisha taarifa kuhusu Makazi ya Wazee nchini mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii jijini Dodoma.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Mwanaidi Ali Khamis akifafanua jambo mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii Mhe. Stanslaus Nyongo akielezea jambo wakati wa Uwasilishajiwa taarifa kuhusu Makazi ya Wazee nchini mbele ya Kamati hiyo jijini Dodoma.
Baadhi ya Wabunge wakifuatilia hoja ya Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima wakati akiwasilisha taarifa kuhusu Makazi ya Wazee nchini mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii jijini Dodoma.

No comments: