Advertisements

Thursday, October 28, 2021

MHE. RAIS SAMIA APOKEA KOMBE LA USHINDI WA COSAFA KUTOKA KWA TIMU YA TAIFA YA WANAWAKE TWIGA STARS

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Viongozi na Wachezaji wa Timu ya Taifa ya mpira wa miguu ya Wanawake Twiga Stars mara baada ya kupokea Kombe la Ubingwa wa Cosafa kwa Timu hiyo leo tarehe 27 Oktoba, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipokea Kombe la Ubingwa wa Cosafa kutoka kwa Nahodha wa Timu ya Taifa ya Wanawake Twiga Stars Amina Ali Bilali leo tarehe 27 Oktoba, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na baadhi ya Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Wanawake Twiga Stars mara baada ya kupokea Kombe la Ubingwa wa Cosafa kutoka kwa Wachezajia wa Timu ya hiyo leo tarehe 27 Oktoba, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa katika Picha ya pamoja na Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Wanawake Twiga Stars mara baada ya kupokea Kombe la Ubingwa wa Cosafa kutoka kwa Wachezajia wa Timu ya hiyo leo tarehe 27 Oktoba, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaam

No comments: