Advertisements

Monday, October 25, 2021

WATUMISHI WAPYA SEKTA YA UJENZI WAFUNDWA

Afisa Utumishi Mkuu kutoka Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi), Bw. Stanley Madyaga, akiwaasa watumishi wapya wa Sekta hiyo (hawapo pichani), kufanya kazi kwa ubunifu na nidhamu wakati wa semina elekezi iliyofanyika jijini Dodoma.
Afisa Utumishi kutoka Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi), Bi. Hindu Augossy (kulia), akizungumzia umuhimu wa watumishi wapya kufuata maadili ya utumishi wa umma katika semina elekezi iliyoandaliwa na Sekta hiyo kwa waajiriwa wapya jijini Dodoma. Kushoto ni Bi. Esther Mwina, Afisa Utumishi akifuatilia.
Baadhi ya watumishi wapya wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi), wakifuatilia semia elekezi kutoka kwa mtaalam kutoka Chuo cha Utumishi wa Umma (hayupo pichani), jijini Dodoma.
Afisa Utumishi Mkuu kutoka Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi), Bw. Stanley Madyaga (wan ne kushoto), katika picha ya pamoja na watumishi wapya wa Sekta hiyo mara baada ya kufungua rasmi semina elekezi, jijini Dodoma.

No comments: