Advertisements

Tuesday, May 24, 2022

MAJALIWA AZUNGUMZA NA WAMACHINGA BAADA YA KUTEMBELEA SOKO LAO LA MBAUDA JIJINI ARUSHA



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Wamachinga baada ya kutembelea soko la Mbauda jijini Arusha, Mei 24, 2022.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitembelea soko la Wamachinga la Mbauda jijini Arusha, Mei 24, 2022. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella na wa tatu kushoto Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua maeneo wanayofanyia baiashara Wamachinga katika soko la Mbauda jijini Arusha, Mei 24, 2022.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitembelea Soko la Kilombero kabla ya kuzungumza na wafanyabiashara wa soko hilo jijini Arusha Mei 24, 2022.
aziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi katika viwanja vya soko la Kilombero baada ya kutembelea soko hilo jijini Arusha, Mei 24, 2022.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: