Saturday, September 4, 2010

ONE LOVE-WASHINGTON DC,LABOR DAY WEEKEND-A WHOLE NEW LEVEL OF ENTERTAINMENT












Sat Sep 4
Partly Cloudy
Partly Cloudy
86°
64°
10%

86°F
Sun
Sep 5
Partly Cloudy
Partly Cloudy
86°
64°
20
%

U-kodak Moment kwenye ONE LOVE LABOR DAY,DC AT MIRAGE HALL

LADY JAYDEE NDANI YA NYUMBA ONE LOVE LABOR DAY,DC




Friday, September 3, 2010

MIRAGE HALL KUMEKUCHA,,Duuuhhhh imekua Bonge la Club

Dj Kay akijiandaa kwa makamuzi
Duuuhhh ebwana hii ndio Mirage kweli,Taa si za kawaida
Ma-Bartender wa kimataifa
DMK na Ma-Bartender wake

Algeria 1-1 Tanzania



Mpira umekwisha bao ni 1-1 Tanzania ndio walioanza kupata bao kipindi cha kwanza na Algeria wakasawazisha sekunde chache kabla ya mapumziko,mechi iliyochezewa Algeria
        TANGAZO LA MSIBA

Ndugu zetu Watanzania tuishio Washington Dc,Va,Baltmore kama kawaida yetu na asili yetu miaka yote unapotokea msiba
Upendo na mshikamano ni jadi yetu,sasa wakati umefika wa kuonyesha upendo kwa mwezetu  aliyetutangulia mbele ya haki.
Hivyo tunapenda kuwatangazia kwamba kutakuwa na misa ya kumuaga ndugu yetu mpendwa Marehemu  Andrew Igala ambae 
alitutoka wiki iliyopita,pia tunapenda kuwashukuru kwa wote waliochangia......misa ya marehemu itafanyika siku ya jmapili Sept 5
saa kumi jioni na mwili wa marehemu utasafirishwa kwenda nyumbani Tanzania  Sept 7 siku ya Jnne

misa itakuwa
(UMI) UNIVERSAL MOTUARY INC
411KENNEDY  SR NW
WASHINGTON  DC

KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NA...
MCH KIDIOLO  CELL  202  438  -6753
DADA  EVA SEQUEIRA  TELL  301  - 920  - 6218


ASANTE

TONIGHT SEPT 3 ONE LOVE LABOR DAY KICKOFF

ONLY PARTY TILL 6 AM | EXTREME SOUND & LIGHTS | PROFFESIONAL BARTENDING | LIVE DJs |FOOD | NEW DÉCOR |


LOOKING FOR FUN IN THE CITY ON LABOR DAY WEEKEND AND DON'T KNOW WHERE TO GO...



IT'S ALL ABOUT HAVING GOOD TIME..WE KNOW YOU WANT TO PARTY LIKE A DISCO STAR,


THATS WHY IT'S ALL ABOUT YOU HAVING THE MOST ENJOYABLE EXPERIENCE 


SO RIGHT NOW WE ARE TAKING OVER DMV WITH A BLAST..


COME ON DOWN AND CHECK IT OUT THIS FRIDAY SEPT 3 


ONE LOVE LABOR DAY KICKOFF @ MIRAGE HALL IT’S OFFICIAL

                                                                                             
  THE EAST AFRICANS IN WASHINGTON DC (DMV)



Wakishirikiana na All African Promoters

Presenting-A whole new Level/Class of Entertainment
* DAY 1 *
FRIDAY SEP 3 from 9:30pm-6:00am

THE BATTLE OF THE SEXES~Bring Your SWAGGER
+THE CLASH OF THE BEST DJs - Kenyan DJs Vs TZ DJs+UG(Entertainment)
@ MIRAGE HALL
1401 University Blvd E
Hyattsville, MD 20783
FOOD AVAILABLE ALL NITE

* DAY 2 *
SATURDAY SEP 4 from 1pm-7pm

* DAY TIME EVENTS*soccer tournament,
11:30 Am-Star Untd vss,,Kenya(DC),
2:30 Pm-Kenya(NJ) vs MT.Zion 
5:00 Pm Final
the winner 11;30 Am V/S 2:30 Pm
@ 4704 Kalmia Rd,
Washington,DC

*NITE EVENT*
THERE AFTER from 9:00pm-6:00am

*THE SIGNATURE * THE FIRST OF A KIND ALL AFRICAN PARTY
THE LUXURIOUS " LOVE NITE CLUB"
1350 OKIE STREET,NE
WASHINGTON,DC

*DAY 3 *
SUNDAY SEP 5 from 3:00pm-8:00pm

*DAY EVENTS*
BBQ/MINGLING/FUN FUN FUN plus SIMBA VS YANGA,& BASKETBALL-KE vs TZ

@ Meadowbrook park,
7901 Meadowbrook Lane
Chevy Chase,MD

* NITE EVENT*
THERE AFTER from 9:00pm-5:00am

*THE ALL AFRICAN AFTERPARTY(FAREWELL BASH)
@ THE BRAND NEW MILLENIUM CLUB
1511 University Blvd E
Hyattsville, MD 20783

MONDAY SEP 6 from 1:00 pm-6:00pm

DC CAPITAL TOUR

MORE INFOS CALL - 301 661 6207 / 240 595 9874 / 240 605 1870


Bofya Link Upate manjonjo ya LOVE NITE CLUB

http://www.lovetheclub.com/


Thursday, September 2, 2010

N'dour wa Senegal azindua televisheni

Mwanamuziki wa miondoko ya Pop kutoka Senegal Youssou N'dour amezindua rasmi kituo chake cha televisheni baada ya kusumbuana na serikali ya nchi hiyo kwa miaka miwili.
Mwanamuziki huyo tayari anamiliki kampuni yake binafsi inayoshughulikia vyombo vya habari huko Dakar, inayokusudia kuipinga serikali ya nchi hiyo.
Waandishi wanasema, kituo hicho kipya, TFM, kitaonyesha masuala ya kiutamaduni, baada ya serikali kumnyima leseni ya kuonyesha mambo mengine tofauti.
Bw N'dour kwa sasa ana matumaini ya kuzifikia nchi jirani.
Youssou N'dour
Mwandishi wa BBC wa Afrika magharibi aliyopo Dakar Thomas Fessy alisema mwanamuziki huyo ana matumaini ya kampuni yake kuwa shirika kuu la habari eneo hilo la magharibi ya Afrika.
Kituo chake cha redio, kilichozinduliwa miaka saba iliyopita, kina mafanikio makubwa na ina wasikilizaji wengi katika mji mkuu wa Dakar.
Mhariri wa redio hiyo Allassane Samba Diop, ambaye atafanya kipindi kimoja katika televisheni hiyo ya TFM (Television Future Medias), aliiambia BBC kwamba "utamaduni" inawanyima nafasi ya kufanya vipindi vingi.
Alisema bado itakiruhusu kituo hicho kuandaa masuala ya kijamii, kisiasa na kiuchumi. TFM ni televisheni ya tano ya kibinafsi nchini humo.
Youssou N'dour aliimba na kutoa hotuba kuadhimisha uzinduzi huo.
"Katika ulimwengu ambao watu zaidi wanaathiriwa na nguvu ya picha na kasi ya habari, nina furaha kusema kwamba serikali ya Senegal imechukua uamuzi sahihi tarehe 11 Mei 2010, kuruhusu TFM kufanya matangazo."

Ushawishi wa kisiasa?

Mashabiki walifurahia uzinduzi huo.
Mshabiki mmoja Saliou Diouf, "Tunaomba Mungu aibariki televisheni yake.....Tunamtakia kila la kheri tukiwa na matumaini, huku tukimshukuru Mungu, atafanikiwa kwa yale aliyoyakusudia na televisheni hii."
Mtafaruku wa leseni ulianza rasmi kutokana na namna televisheni hiyo itakavyodhaminiwa.
Rais wa Senegal Abdoulaye Wade awali alisema leseni ya kurusha matangazo imekataliwa ili kuzuia "watu wa kigeni" kutoa ushawishi wa sera zao.
Mwandishi wa BBC mjini Dakar Tidiane Sy alisema, Bw N'dour alitumia umaarufu wake kama mwanamuziki, kuwakusanya maelfu ya wafuasi kumwuunga mkono na hatimaye akafikia muafaka na serikali.
Mwandishi wetu aliongeza, Bw N'dour alisema hivi karibuni kwamba hatowania urais, lakini atamwuunga mkono anayegombea urais katika uchaguzi ujao, unaotarajiwa kufanyika mwaka 2012.

Yanga na Simba Ughaibuni kuingia na uzi mpya

Juu ni Uzi wa Msimbazi na Chini ni Uzi wa Jangwani

Share it