ukishanga ya musa utaona ya firauni waafrica ngozi nyeusi daima inazarauliwa popote pale ulimwenguni isipokuwa wakikuona una akili na uwezo wa kifedha kidogo wanakupa heshima kidogo tuu na si sana so usishangae kuona wanavyo waenzi mbwa kuliko sisi jamani eeeh njoeni europe mje mjione wenyewe mbwa ana passport yake mweusi mwenzangu na mimi unahaha kimaisha mitaani kutafuta ndonge na mahali pa kulala halafu nchi zenu za kiiafrica mnawachia rasili mali zenu wazitafune na kuzichukua duu sijiu tumerogwa na nani sisi watu weusi
ukishanga ya musa utaona ya firauni waafrica ngozi nyeusi daima inazarauliwa popote pale ulimwenguni isipokuwa wakikuona una akili na uwezo wa kifedha kidogo wanakupa heshima kidogo tuu na si sana so usishangae kuona wanavyo waenzi mbwa kuliko sisi jamani eeeh njoeni europe mje mjione wenyewe mbwa ana passport yake mweusi mwenzangu na mimi unahaha kimaisha mitaani kutafuta ndonge na mahali pa kulala halafu nchi zenu za kiiafrica mnawachia rasili mali zenu wazitafune na kuzichukua duu sijiu tumerogwa na nani sisi watu weusi
ReplyDelete