Diamond nakuzimikia sana kama mwana mziki ila hiyo style yako ya nywele ni mbaya sana. Umeanza kujiharibu sasa leo na kesho utaanza kupaka cream usoni kama wale wengine!!! Umewahi kumuona Kanye West au Jay Z au Usher wanapaka rangi za nyumba kichwani mkuu? Sijapenda kabisa na mie ni number moja fan wako hakunaga.
Diamond nakuzimikia sana kama mwana mziki ila hiyo style yako ya nywele ni mbaya sana. Umeanza kujiharibu sasa leo na kesho utaanza kupaka cream usoni kama wale wengine!!! Umewahi kumuona Kanye West au Jay Z au Usher wanapaka rangi za nyumba kichwani mkuu? Sijapenda kabisa na mie ni number moja fan wako hakunaga.
ReplyDeletekula maisha kufa kwaja maisha yenyewe mafupi,............. ila usimsahau mola wako, utakwenda ulizwa.
ReplyDeleteMaisha sio mafupi
ReplyDelete