Sijui bongo flavour artists watafikia kiwango hicho lini na kuacha kutembeatembea kwenye stage?
Mdundo mzuri sana, Ila maneno yame goma haya eleweki kabisa, halafu ameiga mno kukawa hakuna touch ya Kitanzania/Kiafrica maana hapo naona touch ya Neo na Michael Jackson na Chris Brown......Ingenoga zaidi kama angeiweka kiafrica Africa hiviiiii.
Jamaa wakali sana, hope bongo tutaiga , artist wa bongo too much drama kila kukikucha
bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku yake
Sijui bongo flavour artists watafikia kiwango hicho lini na kuacha kutembeatembea kwenye stage?
ReplyDeleteMdundo mzuri sana, Ila maneno yame goma haya eleweki kabisa, halafu ameiga mno kukawa hakuna touch ya Kitanzania/Kiafrica maana hapo naona touch ya Neo na Michael Jackson na Chris Brown......Ingenoga zaidi kama angeiweka kiafrica Africa hiviiiii.
ReplyDeleteJamaa wakali sana, hope bongo tutaiga , artist wa bongo too much drama kila kukikucha
ReplyDelete