Monday, October 13, 2014

MSAADA KWENYE TUTA

Wadau wa kiswahili naomba masaada wa usahihi wa neno Turubai kuna wengine nimesikikia wakiita turubali kitu ambacho kilileta ubishi mwingi kuhusiana na usahii wa neno lenyewe. Je usahihi ni nini ni TURUBAI au TURUBALI asante

7 comments:

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake