Wednesday, January 7, 2015

PITA PITA YA VIJIMAMBO MWAKA MPYA

Mgeni wa Dr Temba kutoka California mwenye taaluma ya sheria akiweka alama ya kidole kimoja juu akimaanishaTanzania ni number one na kitenge chake shingoni alichopewa na Dr Temba.
Hapa ni mke wa Dr Temba na marafiki zake na vazi la dira wakisherehekea mwaka mpya kwa style ya vazi hilo la dira ingawa siyo Watanzania lakini walilipenda vazi hili maarufu kwa akina mama wa Kitanzania.
Hapa ni nyumbani kwa Dr Temba na wageni wake wakishine na vazi la Kiafrica kiroho safi
Dr Temba akipata ukodak na mgeni wake kutoka California kwa picha zaidi.
  http://tembaphoto.com/

3 comments:

  1. hivi dr Temba anawatoto na kazaa na huyu mama watoto hao.

    na si kanga hiyo kavaa mzungu mbona mnasema kitenge.

    ReplyDelete
  2. jamaa sasa ni ccm nini kama si ccm wacha tumuigize kwenye chama ndo tuwapate hawa nafasi ndo hii.mr Temba wapigiye sera za ccm

    ReplyDelete
  3. I don't understand!!!! what is this about????!!!!

    ReplyDelete

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake