Sunday, August 16, 2015

WATANZANIA WAJITOKEZA NYUMBANI KWA NY EBRA BROOKLYN. NEW YORK KUMPA POLE KWA KUFIWA NA DADA YAKE HUKO TANZANIA


Jumuiya ya Watanzania New York New Jersey,Connecticut na Pennsylvania inasikitika kuungana na Ebra Nyagaly wa Vijimambo New York kutangaza msiba wa dada yake Mpenzi Asha Nyagaly kilichotokea Dar es Salaam, Tanzania. Dada amekutwa na mauti nyumbani baada ya kuzidiwa  ghafla akitokea hospitali alipokwenda kupata matibabu
Kwa sasa unaweza kumpigia simu Ebra NY na kumpa pole simu 347 475 4313

Msiba utakuwa nyumbani kwa
Ebra
702 E 37th St,
Brooklyn, NY

Mwenye Enzi Mungu amsameh Marehemu makosa yake na awape wafiwa subira..Ameen.

Hajji Khamis
Chairman
Ny T'zania Comm.


5 comments:

  1. Pole sana rafiki yetu unayetuletea habari na kutuunagisha.

    ReplyDelete
  2. Pole sana Ibra. Tunamchangia vipi mfiwa sisi tulio mbali?

    ReplyDelete
  3. Unakutakia ustaamilivu katika kipindi hiki kigumu cha majonzi pole sana .

    ReplyDelete

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake