Monday, September 21, 2015

MSANII WA NYIMBO ZA INJILI, EMANUEL MBASHA ASHINDA KESI YA UBAKAJI

 Msanii wa nyimbo za Injili, Emanuel Mbasha, Munde akiwa amepiga magoti huku akilia kwa furaha baada ya kushinda kesi ya ubakaji katika mahakama ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam.(Picha na Francis Dande)
Wakili wa Msanii wa nyimbo za Injili, Emanuel Mbasha, Munde Kalombola (kulia), akitaka kumuinua msanii huyo alipokaa chini na kulia baada ya kushinda kesi ya ubakaji iliyokuwa inamkabili kwenye mahakama ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam.
 Emmanuel Mbasha akitoka katika chumba cha mahakama huku akilia kwa furaha baada ya kushinda keshi ya ubakaji.

4 comments:

  1. What's behind this act? Did he expect to serve some jail time because he actually did commit the crime or is it because defending the case was so onerous that he almost lost any hope of winning the legal fight?

    ReplyDelete
  2. Shukuru sana ex wife wako yupo ukawa
    Na serikali ya CCM wamekuachia
    Ili ukandie ukawa
    Lakini kama ex wako angekuwa CCM ungenyea debeni

    ReplyDelete
    Replies
    1. Umenena mkuu. Hio kesi siasa tupu.
      Haukawi kumsikia mbasha akimkampenia
      Magufuli...

      Delete
  3. Bwana yesu asifiwe na mungu azidi kukulinda kaka mbasha ,na DJ LUKE ebu tuwekee karatasi za wale wakulima wa tumbaku wa hapa MVD walivyo tupiwa kesi yao ,na muandishi wao wa habari bonge nyanya kazimika ghafla sijui kibarua kimemshinda au ajapewa sinia la pilau jamani usiku mwema DJ LUKE NAKUPENDA ADI KUMOLI .

    ReplyDelete

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake