Tuesday, October 13, 2015

RAIS KIKWETE AZINDUA MRADI WA UMEME GESI ASILIA KINYEREZI

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe na kufunua kitambaa katika jiwe la msingi kuzindua rasmi mtambo wa kufua umeme kutokana na Gesi Asilia huko Kinyerezi jijini Dar es Salaam.Mradi huo umejengwa kwa gharama ya shilingi bilioni 400.Kushoto ni mwakilishi wa benki ya African Development Bank(ADB) Bi Tonia Kandiero na kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO Bwana Felchesmi Mramba.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitembelea mradi wa kufua umeme kutokana na gesi asilia muda mfupi baada ya kuzindua mradi huo huko Kinyerezi jijini Dar es Salaam leo.
(Picha na Freddy Maro) 

2 comments:

  1. Uza sura Kila kona
    Ufunguzi mlisubiri lala salama ya uchaguzi
    Tuliyazoea miaka 50 iliyopita
    Watanzania si wajinga tena
    Ni Lowassa Lowassa
    Hata mfungue akhera Nono Nono Nono CCM

    ReplyDelete
  2. Lowassa haingii Ikulu.

    ReplyDelete

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake