Saturday, January 18, 2014

NDOA YA RAIS OBAMA NA MAMA MICHELLE MH! MAJIBU 2016

Licha ya mama Michelle kusherehekea mia 50 white house kwa vinywaji na music lakini inasemekana mambo siyo shwali ndani ya mjengo huo mweupe. Mama na baba mambo ni sawa na kifo cha baharini hajulikani mrefu  wala mfupi. Lakini hatima ya vuguvugu hilo utajulikana mwaka 2016 sasa hivi waachie baba na mama.
Michelle Obama alleged to have discovered her husband has been unfaithful
Reports claim they will separate at the end of his presidency in 2016

6 comments:

  1. si ndo maana mnaabiwaga muowe wake wanne mnabisha bure dunia inajidhihirisha mfumo wa dini ya kiislamu ndo bora

    ReplyDelete
  2. kwanini jamaa asiende kwa mwinginewe baharia anateseka kisela sela kila leo mama kaota mapembe toka zamani si ndo maisha ya wenzetu huku na kwetu home si ndo wanawaiga kila la kheiri

    ReplyDelete
  3. Kaoe wewe , wanne kama Michelle Obama tuone!

    ReplyDelete
  4. Kaoe wewe wa. Nne Kama Michelle Obama , tuone! Utararuliwa ukose wa kukuokoa!

    ReplyDelete
  5. Jamani, kitanda usichokilalia,hujui kunguni wake,

    ReplyDelete
  6. Hii picha ilipigwa kipindi cha kampaini hivyo yawezekana mama alikuwa anasisitiza mzee asilegeee....kuwa mkakamavu.....si ugomvi...wala swala la kuoa wake 4.. hayo tuwaachieni nyinyi wazinifu.

    ReplyDelete

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake