Sunday, August 15, 2010

GOOD NEWS,KWA WAENDAO BONGO!!!

Kwa wale wabongo mtakaoenda likizo Tanzania msikose kutembelea Njiro Bar and GRill iliyoko Arusha njro nane nane grounds opposite na fibreboards,nyama choma utajing'ata ulimi,pana free wifi kwa hiyo ni mtandao na heineken pori(Beer ya Ndovu) kwa kwenda mbele.

No comments:

Post a Comment

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake