Thursday, January 13, 2011

Kikao Cha Harusi
Paul & Bahati
Bahati Mukama na Paul Walden tunatarajia kufunga ndoa tarehe 10 mwezi wa 9, 2011. Bridal shower/Sendoff itafanyika tarehe 3 mwezi wa 9. kikao chetu cha kwanza kinafanyika nyumbani kwetu j'mosi ya tarehe 15 mwezi huu.

104 Ellingwood Lane, 
Frederick,MD,21702 

kuanzia saa 11 jioni. 
Karibuni sana

No comments:

Post a Comment

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake