Monday, January 17, 2011

Image
Mrembo wa Ilala 2010 ambaye pia ni Balozi wa gazeti hili, Bahati Chando (kushoto) akichukuliwa damu kwa ajili ya kuchangia kwenye benki ya damu na Mtaalamu wa Maabara kutoka Benki ya Damu ya Kituo cha Msimbazi, Elizabeth Mgaya, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki ikiwa ni Mpango wa Uchangiaji wa damu ulioandaliwa na Klabu za Rotary za Dar es Salaam kwa kushirikiana na Mpango wa Taifa wa Damu Salama. (Picha na Fadhili Akida).

No comments:

Post a Comment

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake