
Serikali inakataa Raia wa kigeni kufanya biashara ndogo ndogo kama hii ya mitumba ambayo hufanywa na wazawa wenye mitaji midogo
Wafanyabiashara wa Kichina wamepewa siku 30 kuachana na biashara za machinga wanazoziendesha Dar es Salaam,Serikali imesema,Wachina wapo Nchini kama wawekezaji na si wang'arisha viatu.
No comments:
Post a Comment
bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake