Friday, February 4, 2011
Kamati ya kuunda katiba,DMV
Mwenyekiti wa kamati ya kuunda katiba ya Jumuiya ya Watanzania DMV ameomba Watanzania waishio DC,MD,VA kama unamawazo au chochote unafikiri kinaweza kuboresha katiba mpya,basi usisite waandikie Kamati ya Kuunda katiba kupitia tanzania61@gmail.com
No comments:
Post a Comment
bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment
bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake