Thursday, March 31, 2011

Image
Dada Magreth Mutalemwa mkazi wa Urban Quarter Uzunguni, Tabora Mjini, ambaye naye amejitokeza na kudai kuoteshwa kutibu watu na Bikira Maria, akiwa na kikombe chake cha dawa akiombea wagonjwa kabla ya kuwanywesha dawa nyumbani kwake. (Picha kwa Hisani ya Keronyingiblog).

No comments:

Post a Comment

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake