Friday, March 11, 2011

Image
Kaimu Mnikulu, Kassim Mtawa (katikati) akimkabidhi funguo za pikipiki aina ya TVS zenye thamani ya Sh milioni 9.5 ambazo zimetolewa na Rais Jakaya Kikwete kwa wasanii wa kikundi cha Survival Sisters, Latifa Abdallah (kulia) na Irene Malekele, Ikulu mjini Dar es Salaam. (Picha na Yusuf Badi).

No comments:

Post a Comment

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake