ANGALIA LIVE NEWS

Thursday, March 10, 2011


Mchango kwa yatima- Makete

Naamini nyote ni wazima, Nakumbusha kuhusu ahadi ya kuchangia watoto yatima kule Makete, Ninategemea kuupeleka mchango mwisho wa mwezi huu.     
     
Unaweza ukachangia kwa kutuma kwenye account ya EWAO Printers a/c no  00001360106329      iliyopo kwenye bank ya Capital one, au nipigie simu tupange jinsi ya kukutana.
Natanguliza shukrani za pekee na Mungu awabariki sana na kuwaongezea pale mtakapo pungukiwa


Okoka Sanga 
240 505 7280

No comments: