![]() |
| Mpita njia akiangalia bango lililoegeshwa karibu na stendi ndogo ya daladala Morogoro mjini, likihamasisha wananchi wenye magonjwa mbalimbali wanaohitaji kwenda kupata 'kikombe' kwa Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Ambilikile Mwaisapile 'Babu' katika Kijiji cha Samunge, Loliondo, mkoani Arusha. (Picha na John Nditi). |

No comments:
Post a Comment
bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake