Tuesday, October 25, 2011

KILELE CHA WIKI YA WIZARA YA MAMBO YA NJE JIJINI DAR ES SALAAM.

Bendi ya Shule ya Sekondari Jitegemee ikitoa burudani mbele ya wageni waalikwa kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam
Wanafunzi wa shule ya Jitegemee kwa upande wa kwaya wakitoa burudani katika kuadhimisha miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania na miaka 66 ya Umoja wa Mataifa.
Mgeni rasmi Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh. Bernard Membe akiwasili kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja na kupokelewa na Mwenyeji wake Mwakilishi Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Alberic Kacou
Kwa picha zaidi Bofya Hapa

No comments:

Post a Comment

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake