Friday, October 28, 2011

VIPAJI MCHEZO WA NGUMI VINAINULIWA HIVI

 Kocha mkongwe wa mchezo wa ngumi Habibu Kinyogoli akimwelekeza mtoto Salim Mponda (5) jinsi ya kutupa makonde wakati wa mazoezi ya klabu ya ngumi ya Amana Dar es salaam.(picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)

No comments:

Post a Comment

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake