Tuesday, February 14, 2012

RAIS KIKWETE AKUTANA NA MJUMBE MAALUM WA RAIS WA URUSI IKULU JIJINI DAR

Rais Jakaya Kikwete akimsindikiza mjumbe maalum wa Rais wa Urusi Bw. Mikhail V. Margelov mara baada ya maongezi yao Ikulu jijini Dar es Salaam jana Februari 13, 2012.
Rais Jakaya Kikwete akiagana na mjumbe maalum wa Rais wa Urusi Bw. Mikhail V. Margelov.
PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake