
Rais Jakaya Kikwete akimsindikiza mjumbe maalum wa Rais wa Urusi Bw. Mikhail V. Margelov mara baada ya maongezi yao Ikulu jijini Dar es Salaam jana Februari 13, 2012.

Rais Jakaya Kikwete akiagana na mjumbe maalum wa Rais wa Urusi Bw. Mikhail V. Margelov.
PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment
bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake