Saturday, March 17, 2012

HARUSI YA AJ NA HELEWA YAFANA

 Bwana Harusi Athuman Ubao a.k.a. AJ Ubao (kati) akifunga harusi kwenye msikiti uliopo Briggs Chaney kulia ni Kaka yake bi Harusi anaeishi Washington State, Seattle pamoja wakiwa na sheh wa msikiti huo.
 Baada ya Harusi ilikua ni kupiga picha ya pamoja ya Harusi
 Bwana Harusi akipata picha ya kumbukumbu ya siku hii maalum na Sheh wa msikiti wa Briggs Chaney
 Bi Harusi akimeremeta
 Ndugu na jamaa wakaribu wa Bi Harusi wakipata picha ya pamoja
 Bwana Harusi akimuombea Dua Mkewe
 Dua ikiendelea
 Juu na chini ni Bwana na Bibi Harusi wakichum.
(Picha na NY Ebra, Muakilishi wa VIJIMAMBO New York)

2 comments:

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake