Thursday, March 15, 2012

Mkutano na Rais Mstaafu wa Zambia Mzee Kenneth Kaunda, Lusaka, Zambia

Mhe. Ztto Kabwe wakiwa na Rais mustaafu wa Zambia Kenneth Kaunda wa Zambia
 
Kicheko baada ya Mhe. Zitto Kabwe kumkumbusha uamuzi wao na Nyerere kuhusu Biafra. Heshima kwa Waasisi wa bara la Afrika. 

No comments:

Post a Comment

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake