Wednesday, March 14, 2012
Rais Jakaya Kikwete amemteua Balozi Liberata Mulamula (pichani) kuwa Msaidizi wa Rais Mwandamizi, masuala ya Diplomasia, kabla ya uteuzi huo Balozi Mulamula alikuwa katibu mtendaji wa Nchi za Maziwa Makuu.
1 comment:
Anonymous
March 15, 2012 at 9:50 AM
MAMA ANA BAHATI HUYU!
Reply
Delete
Replies
Reply
Add comment
Load more...
bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake
‹
›
Home
View web version
MAMA ANA BAHATI HUYU!
ReplyDelete