Raul akipeana mikono na Sheikh wa Qatar, Nawaf bin Nasser al-Thani (kushoto) wakati akikabidhiwa jezi namba 7
Mwanasoka mkongwe wa Hispania, Raul (katikati) akiwasili kwenye sherehe za kutambulishwa kama mchezaji mpya wa Al-Sadd ya Doha, Qatar leo. Mkongwe huyo mwenye umri wa miaka 34 aliyewika katika klabu ya Real Madrid ya kwao, ametua timu hiyo akitokeaSchalke 04 ya Ujerumani, aliyoichezea misimu miwili.
No comments:
Post a Comment
bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake